
Me nikiwa na Mkali wakusini upande wa kulia Muite Pasha,akifuatiwa na Qj,anaefuata ni m2mzima O'shea pembeni yangu Makamua ndani ya studio ya Pc, hawa jamaa Makamua na mwenzake Qj hawa ndio wanaounda kundi la Wakali kwanza ambao hapo mwanzo walikuwa na Joslin lakini kwasasa wanasemaJoslin hayupo tena kundini kutokana na kuamua kujiondoa katika kundi hilo la wakali kwanza.
0 comments:
Post a Comment