
T plus akiwa Joel Shija (Mtoto wa dada Mayi )kama apendavyo kujiita wanaipa shavu la kutosha Blog yetu ya Mtwaraleo ili iweze kufahamika katika kituo cha redio cha Pc FM kilichopo hapa Mjini Mtwara , bila kumsahau Dj Askofu ambaye naye alinisaidia sana ahsante sana kwa msaada wako bro.
0 comments:
Post a Comment