
Hali ya bara bara yetu ya Mtwara mpaka dsm inaenda kwa kasi kubwa sana baada ya mkandalasi kutishiwa kupigwa stop baada ya kuchelewesha kumaliza kazi, kwa hakika hali halisi tunaiona hasa huku kusini(mkoa)mambo haya kuwa shwari enzi hizo ukilinganisha n hali yaaa hivi sasa inaonyesha dhali Serikari yetu ilivyo simama kidete, ilikuwa unachukua hata wiki moja kusafiri kutoka Mtwara kwenda Dsm kutoka na njia mbovu, kwa sasa tunashukuru mungu kuona unachukua masaa kusafiri.

kama kawaida barabara inavyoenda kwa kasi

Dah.... kwa hakika juhudi zinaonekana kuwa kweli Serikali haitaki muchezo

Unabishaaaaaaaaaa kweli tunajipangusa kuhusu barabara yetu, big up... au munasemaje wadau?
0 comments:
Post a Comment