
Afisa elimu mkoa wa Mtwara, Epsoin Kipenya, alipokea vitabu kwa niaba ya serikali kuitoka kwa meneja wa Zain kanda ya Lindi na Mtwara.Bartholomew Masatu, Zain imetoa vitabu vyenye thamani ya shilingi milioni nne kwa shule mbili za Mtwara na mbili Lindi kupitia mpango wake wa ‘building our nation’.

Afisa elimu mkoa wa Mtwara akimkabidhi vitabu Mkuu wa shule ya sekondari wasichana Mtwara, Marry Kaguo. muda mfupi baada ya kuvipokea kutoka Zain.
0 comments:
Post a Comment