
Huu ndiyo uhalisia wa umati wa watu waliohudhulia ktk uzinduzi wa sherehe hizi za ufunguzi wa daraja.

Huo ndiyo muonekano halisi wa daraja la Umoja jinsi gani linavyovutia na limegarimu Billion 34 mpaka kukamilika daraja hili

Bendi ya T.O.T walikuwa wakikonga nyoyo za wanainchi kuhakikisha mambo yanakuwa mswano.

Mh kwa hakika watu walijaa siyo kipole pole m2wangu.

Mh Rais wa Tanzania akiwa na Rais wa Msumbiji Mh Almando Gedbouza wakati braziband wakiimba wimbo wa Taifa wa Tanzania

Hapa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili na msafara wa baadhi ya viongozi wa Tanzania Rais Mstaafu Mh Ally HAssani Mwinyi na Mh Benjamini William Mkapa pamoja na waziri wa miundo mbinu Mh Shukuru Kawambwa.
0 comments:
Post a Comment