
Kwa hakika hapa mwake pametulia , m2mzima nitakuwa ninatia timu daily pande hizi....

Unabishaa...mwanzo mwisho ndiyo hapo watu walijiachia full furaha pande za msijute

Dah... nikakutana na wadau wa Exim Benk wakiwa wanapata shavu lakutosha kama kawa

Mpango mzima ulikuwa hapa maana dah.....siwezi sema, mwenyewe wajionea

Dah.. jamaa walinipa saport ya kutosha kuhakikisha Mtwara leo inachukua snape ukizingatia wengi wao walikuwa hawataki nichukue snape thx kwa saport wakubwaaa....
0 comments:
Post a Comment